Ratiba ya Juma Linaloanza Julai 16
JUMA LINALOANZA JULAI 16
Wimbo 101 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt Sura ya 23 ¶16-19, sanduku kwenye uku. 188 (Dak. 25)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Ezekieli 15-17 (Dak. 10)
Na. 1: Ezekieli 16:14-27 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Ile Kweli Ambayo Yesu Alizungumzia Katika Yohana 18:37 Ni Nini? (Dak. 5)
Na. 3: Je, Yesu Alianzisha Maadhimisho ya Misa?—rs uku. 207 ¶1–uku. 209 ¶1 (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Faidika na Shule ya Huduma ya Kitheokrasi ili Ufanye Maendeleo Ukiwa Mhudumu. Hotuba itolewe na mwangalizi wa Shule ya Huduma ya Kitheokrasi ikitegemea kitabu Shule ya Huduma, ukurasa wa 6, fungu la 1, hadi mwisho wa ukurasa wa 8. Hoji mhubiri mmoja au wawili kuhusu jinsi ambavyo shule imewasaidia katika huduma.
Dak. 20: “Wasaidie Watu Wamsikilize Mungu.” Maswali na majibu. Panga onyesho litakalofanywa mnapozungumzia fungu la 5, la jinsi moja ya broshua hizo inavyoweza kutolewa. Panga onyesho lingine la dakika tatu litakalofanywa baada ya kuzungumzia fungu la 6. Katika onyesho hilo, mhubiri anaongoza funzo la Biblia kwa kutumia broshua Msikilize Mungu na anazungumzia picha ya kwanza katika ukurasa wa 4.
Wimbo 120 na Sala