Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • km 7/12 uku. 2
  • Ratiba ya Juma Linaloanza Julai 16

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Ratiba ya Juma Linaloanza Julai 16
  • Huduma Yetu ya Ufalme—2012
  • Vichwa vidogo
  • JUMA LINALOANZA JULAI 16
Huduma Yetu ya Ufalme—2012
km 7/12 uku. 2

Ratiba ya Juma Linaloanza Julai 16

JUMA LINALOANZA JULAI 16

Wimbo 101 na Sala

□ Funzo la Biblia la Kutaniko:

bt Sura ya 23 ¶16-19, sanduku kwenye uku. 188 (Dak. 25)

□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:

Usomaji wa Biblia: Ezekieli 15-17 (Dak. 10)

Na. 1: Ezekieli 16:14-27 (Isizidi dak. 4)

Na. 2: Ile Kweli Ambayo Yesu Alizungumzia Katika Yohana 18:37 Ni Nini? (Dak. 5)

Na. 3: Je, Yesu Alianzisha Maadhimisho ya Misa?​—rs uku. 207 ¶1–uku. 209 ¶1 (Dak. 5)

□ Mkutano wa Utumishi:

Wimbo 119

Dak. 5: Matangazo.

Dak. 10: Faidika na Shule ya Huduma ya Kitheokrasi ili Ufanye Maendeleo Ukiwa Mhudumu. Hotuba itolewe na mwangalizi wa Shule ya Huduma ya Kitheokrasi ikitegemea kitabu Shule ya Huduma, ukurasa wa 6, fungu la 1, hadi mwisho wa ukurasa wa 8. Hoji mhubiri mmoja au wawili kuhusu jinsi ambavyo shule imewasaidia katika huduma.

Dak. 20: “Wasaidie Watu Wamsikilize Mungu.” Maswali na majibu. Panga onyesho litakalofanywa mnapozungumzia fungu la 5, la jinsi moja ya broshua hizo inavyoweza kutolewa. Panga onyesho lingine la dakika tatu litakalofanywa baada ya kuzungumzia fungu la 6. Katika onyesho hilo, mhubiri anaongoza funzo la Biblia kwa kutumia broshua Msikilize Mungu na anazungumzia picha ya kwanza katika ukurasa wa 4.

Wimbo 120 na Sala

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki