Ratiba ya Juma Linaloanza Agosti 20
JUMA LINALOANZA AGOSTI 20
Wimbo 83 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura ya 25 ¶8-13, sanduku kwenye uku. 201 (Dak. 25)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Ezekieli 32-34 (Dak. 10)
Na. 1: Ezekieli 34:15-28 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Maoni ya Mkristo Kuhusu Sherehe za Kizalendo Hutegemea Maandiko Gani?—rs uku. 138 ¶1–uku. 139 ¶2 (Dak. 5)
Na. 3: Kwa Nini Sala Inayotoka Moyoni Inahusisha Mengi Zaidi ya Maneno Tu?—Zab. 145:18; Mt. 22:37 (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Mtu Akisema: ‘Ninaamini Mageuzi.’ Mazungumzo yanayotegemea kitabu Kutoa Sababu, ukurasa wa 166, fungu la 2, hadi mwisho wa ukurasa wa 168. Panga onyesho fupi la jinsi tunavyoweza kumjibu mtu anaposema, ‘Ninaamini kwamba Mungu alimuumba mwanadamu kupitia mageuzi.’
Dak. 10: Tianeni Moyo. (Ebr. 10:25) Mazungumzo yanayotegemea Kitabu cha mwaka—2012, ukurasa wa 108, fungu la 2; ukurasa wa 109, fungu la 2; na ukurasa wa 181, fungu la 2. Waombe wasikilizaji waeleze mambo waliyojifunza.
Dak. 10: “Linda Akili Yako.” Maswali na majibu. Tangaza tarehe za kusanyiko la mzunguko iwapo zinajulikana.
Wimbo 70 na Sala