Ratiba ya Juma Linaloanza Septemba 10
JUMA LINALOANZA SEPTEMBA 10
Wimbo 23 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura ya 26 ¶9-15, sanduku kwenye uku. 208 (Dak. 30)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Ezekieli 42-45 (Dak. 10)
Na. 1: Ezekieli 43:13-27 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Kwa Nini Jina Yehova Limetumiwa Katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo?—rs uku. 295 ¶3–uku. 296 ¶1 (Dak. 5)
Na. 3: Ni Lazima Tufanye Nini ili Tupate Roho Takatifu? (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 10: Funzo la Kibinafsi Hutokeza Wahudumu Wenye Nguvu. Mazungumzo yanayotegemea kitabu Shule ya Huduma, ukurasa wa 27-32. Malizia kwa kutaja Habari Kuu za Utumishi.
Dak. 10: Silaha Yoyote Itakayofanywa Juu Yako Haitafanikiwa. (Isa. 54:17) Mazungumzo yanayotegemea Kitabu cha Mwaka—2012, ukurasa wa 125, fungu la 3, hadi ukurasa wa 126, fungu la 3, na ukurasa wa 181, fungu la 3. Waombe wasikilizaji waeleze mambo waliyojifunza.
Dak. 10: “Tumia Utangulizi Wenye Matokeo.” Maswali na majibu.
Wimbo 44 na Sala