Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • km 9/12 uku. 1
  • Ratiba ya Juma Linaloanza Septemba 10

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Ratiba ya Juma Linaloanza Septemba 10
  • Huduma Yetu ya Ufalme—2012
  • Vichwa vidogo
  • JUMA LINALOANZA SEPTEMBA 10
Huduma Yetu ya Ufalme—2012
km 9/12 uku. 1

Ratiba ya Juma Linaloanza Septemba 10

JUMA LINALOANZA SEPTEMBA 10

Wimbo 23 na Sala

□ Funzo la Biblia la Kutaniko:

bt sura ya 26 ¶9-15, sanduku kwenye uku. 208 (Dak. 30)

□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:

Usomaji wa Biblia: Ezekieli 42-45 (Dak. 10)

Na. 1: Ezekieli 43:13-27 (Isizidi dak. 4)

Na. 2: Kwa Nini Jina Yehova Limetumiwa Katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo?—rs uku. 295 ¶3–uku. 296 ¶1 (Dak. 5)

Na. 3: Ni Lazima Tufanye Nini ili Tupate Roho Takatifu? (Dak. 5)

□ Mkutano wa Utumishi:

Wimbo 60

Dak. 10: Funzo la Kibinafsi Hutokeza Wahudumu Wenye Nguvu. Mazungumzo yanayotegemea kitabu Shule ya Huduma, ukurasa wa 27-32. Malizia kwa kutaja Habari Kuu za Utumishi.

Dak. 10: Silaha Yoyote Itakayofanywa Juu Yako Haitafanikiwa. (Isa. 54:17) Mazungumzo yanayotegemea Kitabu cha Mwaka—2012, ukurasa wa 125, fungu la 3, hadi ukurasa wa 126, fungu la 3, na ukurasa wa 181, fungu la 3. Waombe wasikilizaji waeleze mambo waliyojifunza.

Dak. 10: “Tumia Utangulizi Wenye Matokeo.” Maswali na majibu.

Wimbo 44 na Sala

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki