Ratiba ya Juma Linaloanza Februari 25
JUMA LINALOANZA FEBRUARI 25
Wimbo 120 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
jr sura ya 6 ¶1-6 (Dak. 30)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Marko 5-8 (Dak. 10)
Pitio la Shule ya Huduma ya Kitheokrasi (Dak. 20)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: “Je, Ni Lazima Ukatize?” Mazungumzo.
Dak. 10: Ujumbe Ambao Ni Lazima Tuutangaze—“Kutoa Ushahidi Kuhusu Yesu.” Hotuba yenye kusisimua inayotegemea kitabu Shule ya Huduma, kuanzia kichwa kidogo kwenye ukurasa wa 275 hadi mwisho wa ukurasa wa 278.
Dak. 15: Yehova Hututia Nguvu Tuhubiri. (Flp. 4:13) Wahoji wahubiri wawili au watatu ambao ni wenye bidii katika utumishi licha ya matatizo ya afya. Wanakabili hali gani ngumu? Ni nini huwasaidia kuepuka kubaki katika hali ya kuvunjika moyo kwa muda mrefu? Kutaniko limetoa msaada gani unaofaa? Wamefaidika jinsi gani kwa kushiriki kwa ukawaida katika huduma?
Wimbo 42 na Sala