Ratiba ya Juma Linaloanza Machi 11
JUMA LINALOANZA MACHI 11
Wimbo 68 na Sala
□Funzo la Biblia la Kutaniko:
jr sura ya 6 ¶13-18, sanduku kwenye uku. 74 (Dak. 30)
□Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Marko 13-16 (Dak. 10)
Na. 1: Marko 14:22-42 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Ukumbusho Una Umuhimu Gani?—rs uku. 336 ¶6–uku. 337 ¶2 (Dak. 5)
Na. 3: Mkate na Divai Ambazo Hutumiwa Kwenye Ukumbusho Humaanisha Nini?—rs uku. 337 ¶3–uku. 338 ¶1 (Dak. 5
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 10: Tunajifunza Nini? Mazungumzo. Omba msikilizaji mmoja au zaidi wasome Mathayo 10:7-10 na Luka 10:1-4. Zungumzia jinsi masimulizi hayo yanavyoweza kutusaidia katika huduma yetu.
Dak. 10: Njia za Kupanua Huduma Yako—Sehemu ya 1. Mazungumzo yanayotegemea kitabu Tengenezo, ukurasa wa 111, fungu la 1, hadi ukurasa wa 112, fungu la 2. Mhoji mhubiri mmoja au wawili ambao wamehamia sehemu nyingine au wamejifunza lugha nyingine ili kupanua huduma yao. Ni matatizo gani waliyolazimika kukabiliana nayo? Walipata msaada gani kutoka kwa familia zao au kutanikoni? Wamefurahia baraka zipi?
Dak. 10: “Jitayarishe kwa Ajili ya Ukumbusho Ukiwa na Moyo Wenye Shangwe.” Maswali na majibu. Zungumzia mipango ya kutaniko kuhusu Ukumbusho. Eleza jinsi kampeni ya kugawa mialiko inavyoendelea.
Wimbo 8 na Sala