Ratiba ya Juma Linaloanza Septemba 9
JUMA LINALOANZA SEPTEMBA 9
Wimbo 62 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
jr sura ya 14 ¶1-7 (Dak. 30)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: 1 Wakorintho 10-16 (Dak. 10)
Na. 1: 1 Wakorintho 14:7-25 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Mwanadamu Mwenye Dhambi Anawezaje ‘Kuutuliza Uso wa Yehova’?—2 Nya. 33:12, 13; Isa. 55:6, 7 (Dak. 5)
Na. 3: Ni kwa Nini Masimulizi Yanayopatikana Kwenye Yohana 9:1, 2 Hayathibitishi Imani ya Kuzaliwa Upya Katika Mwili Mwingine?—rs uku. 151 ¶1–uku. 152 ¶3 (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 10: Vijana—Mtatumiaje Maisha Yenu?—Sehemu ya 1. Hotuba inayotegemea trakti, Vijana—Mtatumiaje Maisha Yenu? fungu la 1 hadi la 9. Wapongeze kwa uchangamfu vijana wanaojitahidi kutanguliza masilahi ya Ufalme.
Dak. 10: Mambo Yaliyoonwa kwa Kutumia Broshua Habari Njema. Mazungumzo. Waombe wasikilizaji waeleze mambo yaliyoonwa yenye kupendeza waliyopata walipokuwa wakitumia broshua Habari Njema kuanzisha funzo la Biblia. Panga kuwe na onyesho la jinsi broshua hiyo inavyoweza kutumiwa unapomrudia mtu ambaye alichukua magazeti.—Ona Huduma Yetu ya Ufalme ya Machi 2013, ukurasa wa 7.
Dak. 10: “Wachukueni Manabii Kuwa Kielelezo—Amosi.” Maswali na majibu.
Wimbo 96 na Sala