Ratiba ya Juma Linaloanza Desemba 23
JUMA LINALOANZA DESEMBA 23
Wimbo 127 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
jl Somo la 23-25 (Dak. 30)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Ufunuo 7-14 (Dak. 10)
Na. 1: Ufunuo 9:1-21 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Njia Ambazo Wakristo wa Kweli Wanaweza Kuonyesha Ukaribishaji-Wageni wa Kutoka Moyoni—Ebr. 13:2 (Dak. 5)
Na. 3: Wafuasi wa Dini ya Kweli Hupendana na Huendelea Kujitenga na Ulimwengu—rs uku. 65 ¶5–uku 66¶1 (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 10: Machapisho Tutakayotoa Mwezi wa Januari na Februari. Mazungumzo. Zungumzia yaliyomo katika machapisho yatakayotolewa, na upange kuwe na maonyesho mawili ya jinsi ya kutoa machapisho hayo.
Dak. 20: “Wasaidie Wale Ambao kwa Sasa Hawako Tayari Kujifunza Kitabu Biblia Inafundisha.” Maswali na majibu. Panga kuwe na onyesho moja kwa kutumia mapendekezo yaliyo kwenye ukurasa wa 6.
Wimbo 46 na Sala