Ratiba ya Juma Linaloanza Septemba 22
JUMA LINALOANZA SEPTEMBA 22
Wimbo 9 na Sala
Funzo la Biblia la Kutaniko:
cl sura ya 13 ¶11-18 (Dak. 30)
Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Hesabu 30-32 (Dak. 10)
Na. 1: Hesabu 32:16-30 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Kwa Nini Mungu Hakumharibu Shetani Mara Moja Baada ya Kuasi—rs uku. 272 ¶1-2 (Dak. 5)
Na. 3: Biblia Ni Mwongozo Wenye Kutegemeka kwa Siku Zetu—td 1B (Dak. 5)
Mkutano wa Utumishi:
Dak. 15: Maisha ya Umishonari Yenye Baraka Nyingi. (Met. 10:22) Mazungumzo yanayotegemea Kitabu cha Mwaka—2014, ukurasa wa 124, fungu la 1, hadi ukurasa wa 127, fungu la 4; na ukurasa wa 169. Waombe wasikilizaji waeleze mambo waliyojifunza.
Dak. 15: “Tumia Tovuti ya jw.org/sw Katika Huduma.” Mazungumzo. Panga kuwe na onyesho linalotegemea fungu la pili. Kisha waulize wasikilizaji: Kuna faida gani za kuipakua na kuhifadhi video hiyo kwenye vifaa vyetu vya mkononi vya kielektroniki? Kwa nini inafaa kuonyesha video hiyo bila kutoa utangulizi mrefu? Umepata matokeo gani kwa kutumia video hiyo katika huduma? Malizia kwa kuwatia moyo wahubiri wafahamu mambo mbalimbali yaliyo katika Tovuti ya jw.org/sw na waitumie katika huduma. Au, ikitegemea hali za eneo lenu, unaweza kuonyesha jinsi ya kuanzisha mazungumzo kwa kutumia trakti, Je, Kweli Wafu Wataishi Tena? au trakti nyingine yoyote inayopatikana kutanikoni.
Wimbo 84 na Sala