Ratiba ya Juma Linaloanza Julai 6
JUMA LINALOANZA JULAI 6
Wimbo 80 na Sala
Funzo la Biblia la Kutaniko:
cl sura ya 27 ¶1-9 (Dak. 30)
Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: 1 Wafalme 7-8 (Dak. 8)
Na. 1: 1 Wafalme 8:27-34 (Isizidi dak. 3)
Na. 2: Kurudi kwa Kristo Hakuonekani—td 17A (Dak. 5)
Na. 3: Unawezaje Kukabiliana na Mahangaiko?—igw uku. 24 ¶1-3 (Dak. 5)
Mkutano wa Utumishi:
Kichwa cha Mwezi Huu: “Kumbuka siku za kale.”—Kum. 32:7.
Dak. 10: Toa Magazeti Mwezi wa Julai. Mazungumzo. Anza kwa onyesho la jinsi ya kutumia mapendekezo kwa ajili ya utumishi yaliyo kwenye ukurasa huu. Kisha changanua mapendekezo hayo.
Dak. 10: Tulitimiza Nini? Mazungumzo. Sehemu hii ishughulikiwe na mwandishi. Zungumzia mambo yaliyotimizwa katika majira ya Ukumbusho, na uwapongeze wahubiri kwa utendaji wao. Waombe wahubiri wasimulie mambo yaliyoonwa waliyofurahia walipokuwa wakitoa mialiko ya Ukumbusho.
Dak. 10: Tulipata Matokeo Gani? Mazungumzo. Waombe wahubiri waeleze jinsi walivyonufaika kwa kutumia mapendekezo yaliyotolewa katika makala “Kuboresha Ustadi Wetu Katika Huduma—Kuanzisha Funzo la Biblia Mlangoni kwa Kutumia Broshua Habari Njema Kutoka kwa Mungu!” Waombe wahubiri waeleze mambo yaliyoonwa yenye kutia moyo.
Wimbo 67 na Sala