Ratiba ya Juma Linaloanza Oktoba 5
JUMA LINALOANZA OKTOBA 5
Wimbo 13 na Sala
Funzo la Biblia la Kutaniko:
cl sura ya 31 ¶13-20 (Dak. 30)
Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: 1 Mambo ya Nyakati 1-4 (Dak. 8)
Na. 1: 1 Mambo ya Nyakati 1:28-42 (Isizidi dak. 3)
Na. 2: Nafsi ni Nini?—td 25A (Dak. 5)
Na. 3: Neno “Mpinga-Kristo” Linawahusu Nani? (Dak. 5)
Mkutano wa Utumishi:
Kichwa cha Mwezi Huu: ‘Toa ushahidi kamili kuhusu habari njema.’ —Mdo. 20:24.
Dak. 10: Toa Magazeti Mwezi wa Oktoba. Mazungumzo. Anza kwa maonyesho mawili ya jinsi magazeti yanavyoweza kutolewa kwa kutumia mapendekezo yaliyo katika ukurasa huu. Kisha zungumzia mapendekezo hayo.
Dak. 10: Mahitaji ya kutaniko.
Dak. 10: Tulitimiza Nini? Mazungumzo. Waombe wahubiri waeleze jinsi walivyonufaika kwa kutumia mapendekezo yaliyo katika makala “Kuboresha Ustadi Wetu Katika Huduma—Kuhubiri Katika Maeneo ya Biashara.” Waombe wasimulie mambo yaliyoonwa yenye kutia moyo.
Wimbo 98 na Sala