Mei 25-31
MWANZO 42-43
Wimbo 120 na Sala
Utangulizi (Dak. 1)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Yosefu Aonyesha Sifa ya Kujizuia”: (Dak. 10)
Mwa 42:5-7—Yosefu aliendelea kuwa mtulivu alipowaona ndugu zake (w15 5/1 13 ¶5; 14 ¶1)
Mwa 42:14-17—Yosefu aliwajaribu ndugu zake (w15 5/1 14 ¶2)
Mwa 42:21, 22—Ndugu za Yosefu walionyesha kwamba wametubu (it-2 108 ¶4)
Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 10)
Mwa 42:22, 37—Rubeni alionyesha sifa zipi nzuri? (it-2 795)
Mwa 43:32—Kwa nini lilikuwa jambo lenye kuchukiza kwa Waisraeli kula pamoja na Wamisri? (w04 1/15 29 ¶1)
Umepata hazina gani za kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili kumhusu Yehova Mungu, au ambazo ungependa kutumia katika utumishi wa shambani, au jambo lingine?
Usomaji wa Biblia: (Usizidi dak. 4) Mwa 42:1-20 (th somo la 2)
BORESHA HUDUMA YAKO
Video ya Ziara ya Kurudia ya Pili: (Dak. 5) Mazungumzo. Onyesha video. Kisha waulize wasikilizaji: Ndugu huyo alitoaje utangulizi mzuri wa andiko hilo? Kwa nini ndugu huyo alitoa kitabu Biblia Inatufundisha, na alifanyaje hivyo?
Ziara ya Kurudia ya Pili: (Isizidi dak. 3) Tumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. (th somo la 15)
Funzo la Biblia: (Lisizidi dak. 5) lvs 38-39 ¶18 (th somo la 8)
MAISHA YA MKRISTO
“Fahamu Mambo Yote Yanayohusika”: (Dak. 15) Mazungumzo. Onyesha video yenye kichwa Boresha Usomaji Wako wa Biblia—Kisehemu. Watie moyo wasikilizaji watazame video hiyo yote.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 116
Umalizio (Usizidi dak. 3)
Wimbo 79 na Sala