1
Yeremia awekwa kuwa nabii (1-10)
Maono ya mti wa mlozi (11, 12)
Maono ya chungu cha kupikia (13-16)
Yeremia atiwa nguvu kwa ajili ya utume wake (17-19)
2
3
4
Kutubu kunaleta baraka (1-4)
Msiba utakuja kutoka kaskazini (5-18)
Uchungu wa Yeremia kuhusu msiba unaokuja (19-31)
5
Watu wakataa nidhamu ya Yehova (1-13)
Wataharibiwa lakini hawataangamizwa kabisa (14-19)
Yehova awaadhibu watu (20-31)
6
Kuzingirwa kwa Yerusalemu kunakaribia (1-9)
Ghadhabu ya Yehova dhidi ya Yerusalemu (10-21)
Watavamiwa kikatili kutoka kaskazini (22-26)
Yeremia atakuwa mpimaji wa madini (27-30)
7
Tumaini la uwongo katika hekalu la Yehova (1-11)
Hekalu litakuwa kama Shilo (12-15)
Ibada ya kidesturi yashutumiwa (16-34)
8
Watu wachagua njia inayopendwa na wengi (1-7)
Kuna hekima gani bila neno la Yehova? (8-17)
Yeremia aomboleza kwa sababu ya kuvunjika kwa Yuda (18-22)
9
Yeremia ahuzunika sana (1-3a)
Yehova aiadhibu Yuda (3b-16)
Nchi ya Yuda yaombolezewa (17-22)
Jigambe kuhusu kumjua Yehova (23-26)
10
Mungu aliye hai atofautishwa na miungu ya mataifa (1-16)
Uharibifu na uhamisho unaokuja (17, 18)
Yeremia aomboleza (19-22)
Sala ya nabii (23-25)
11
Yuda avunja agano lake pamoja na Mungu (1-17)
Yeremia afananishwa na mwanakondoo anayepelekwa machinjioni (18-20)
Yeremia apingwa na watu wa mji wa nyumbani kwao (21-23)
12
Yeremia alalamika (1-4)
Jibu la Yehova (5-17)
13
Mshipi wa kitani ulioharibika (1-11)
Mitungi ya divai itavunjwavunjwa (12-14)
Watu wa Yuda wasioweza kubadilika watapelekwa uhamishoni (15-27)
14
Ukame, njaa kali, na upanga (1-12)
Manabii wa uwongo washutumiwa (13-18)
Yeremia akiri dhambi za watu (19-22)
15
16
Yeremia hapaswi kuoa, kuomboleza, wala kusherehekea (1-9)
Adhabu, kisha kurudishwa (10-21)
17
Dhambi ya Yuda imetia mizizi (1-4)
Baraka za kumtumaini Yehova (5-8)
Moyo wenye hila (9-11)
Yehova, tumaini la Israeli (12, 13)
Sala ya Yeremia (14-18)
Kuishika Sabato ikiwa siku takatifu (19-27)
18
Udongo mikononi mwa mfinyanzi (1-12)
Yehova awageuzia Israeli mgongo (13-17)
Njama dhidi ya Yeremia; ombi lake (18-23)
19
20
Pashuri ampiga Yeremia (1-6)
Yeremia hawezi kuacha kuhubiri (7-13)
Yeremia alalamika (14-18)
21
22
23
Wachungaji wazuri na wabaya (1-4)
Usalama chini ya “chipukizi adilifu” (5-8)
Manabii wa uwongo washutumiwa (9-32)
“Mzigo” wa Yehova (33-40)
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
Ahadi ya kurudishwa (1-13)
Usalama chini ya “chipukizi adilifu” (14-16)
Agano pamoja na Daudi na makuhani (17-26)
34
35
36
Yeremia asema mambo kisha yaandikwa katika kitabu cha kukunjwa (1-7)(1-7)
Baruku asoma kwa sauti kitabu cha kukunjwa (8-19)
Yehoyakimu akichoma moto kitabu hicho cha kukunjwa (20-26)
Ujumbe waandikwa tena kwenye kitabu kipya cha kukunjwa (27-32)
37
Wakaldayo wataondoka kwa muda mfupi tu (1-10)
Yeremia afungwa gerezani (11-16)
Sedekia akutana na Yeremia (17-21)
38
Yeremia atupwa ndani ya tangi (1-6)
Ebed-meleki amwokoa Yeremia (7-13)
Yeremia amsihi Sedekia ajisalimishe (14-28)
39
Kuanguka kwa Yerusalemu (1-10)
Yeremia atalindwa (11-14)
Uhai wa Ebed-meleki utaokolewa (15-18)
40
Nebuzaradani amwachilia huru Yeremia (1-6)
Gedalia awekwa kuwa msimamizi nchini (7-12)
Njama dhidi ya Gedalia (13-16)
41
42
43
44
45
46
47
48
49
Unabii dhidi ya Amoni (1-6)
Unabii dhidi ya Edomu (7-22)
Unabii dhidi ya Damasko (23-27)
Unabii dhidi ya Kedari na Hasori (28-33)
Unabii dhidi ya Elamu (34-39)
50
51
52
Sedekia aasi Babiloni (1-3)
Nebukadneza azingira Yerusalemu (4-11)
Kuharibiwa kwa jiji na hekalu (12-23)
Watu wapelekwa uhamishoni Babiloni (24-30)
Yehoyakini aachiliwa huru kutoka gerezani (31-34)