Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • CO-pgm18 kur. 4-5
  • Jumamosi

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Jumamosi
  • Programu ya Kusanyiko la Eneo la 2018
  • Habari Zinazolingana
  • Jumamosi
    Programu ya Kusanyiko la Eneo la 2020
  • Jumamosi
    2021 Programu ya Kusanyiko la Eneo
  • Jumamosi
    Programu ya Kusanyiko la Eneo la 2019
  • Jumamosi
    Programu ya Kusanyiko la Eneo la 2017
Pata Habari Zaidi
Programu ya Kusanyiko la Eneo la 2018
CO-pgm18 kur. 4-5
Gideoni na wanaume wake wapiga pembe, wavunja mitungi, wainua mienge, na kupiga kelele

Jumamosi

“Kuonyesha uhodari mwingi wa kulisema neno la Mungu bila woga.”​—WAFILIPI 1:14

ASUBUHI

  • 3:20 Video ya Muziki

  • 3:30 Wimbo Na. 76 na Sala

  • 3:40 MFULULIZO: Uwe Jasiri Ukiwa . . .

    • Mwanafunzi wa Biblia (Matendo 8:35, 36; 13:48)

    • Kijana (Zaburi 71:5; Methali 2:11)

    • Mhubiri (1 Wathesalonike 2:2)

    • Mwenzi wa Ndoa (Waefeso 4:26, 27)

    • Mzazi (1 Samweli 17:55)

    • Painia (1 Wafalme 17:6-8, 12, 16)

    • Mzee wa Kutaniko (Matendo 20:28-30)

    • Mwenye Umri Mkubwa (Danieli 6:10, 11; 12:13)

  • 4:50 Wimbo Na. 119 na Matangazo

  • 5:00 MFULULIZO: Waige, Si Waoga, Bali Wenye Ujasiri!

    • Usiige Wale Wakuu Kumi, Iga Yoshua na Kalebu (Hesabu 14:7-9)

    • Usiige Wakaaji wa Merozi, Iga Yaeli (Waamuzi 5:23)

    • Usiige Manabii wa Uwongo, Iga Mikaya (1 Wafalme 22:14)

    • Usiige Uriya, Iga Yeremia (Yeremia 26:21-23)

    • Usiige Yule Mtawala Tajiri, Iga Paulo (Marko 10:21, 22)

  • 5:45 UBATIZO: “Sisi si Namna ya Watu Wanaorudi Nyuma”! (Waebrania 10:35, 36, 39; 11:30, 32-34, 36; 1 Petro 5:10)

  • 6:15 Wimbo Na. 38 na Mapumziko

Nehemia asimamia kazi ya kujenga upya kuta za Yerusalemu na kuwaweka walinzi; Yesu asali

ALASIRI

  • 7:35 Video ya Muziki

  • 7:45 Wimbo Na. 111

  • 7:50 MFULULIZO: Jifunze Ujasiri Kutokana na Uumbaji

    • Simba (Mika 5:8)

    • Farasi (Ayubu 39:19-25)

    • Nguchiro (Zaburi 91:3, 13-15)

    • Ndege Wavumaji (1 Petro 3:15)

    • Tembo (Methali 17:17)

  • 8:40 Wimbo Na. 60 na Matangazo

  • 8:50 MFULULIZO: Jinsi Ndugu Zetu Wanavyoonyesha Ujasiri . . .

    • Afrika (Mathayo 10:36-39)

    • Asia (Zekaria 2:8)

    • Ulaya (Ufunuo 2:10)

    • Amerika Kaskazini (Isaya 6:8)

    • Oceania (Zaburi 94:14, 19)

    • Amerika Kusini (Zaburi 34:19)

  • 10:15 Uwe Jasiri Lakini Usijitegemee! (Methali 3:5, 6; Isaya 25:9; Yeremia 17:5-10; Yohana 5:19)

  • 10:50 Wimbo Na. 3 na Sala ya Mwisho

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki