Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w75 9/15 uku. 432
  • Kondoo Wanaitikia Sauti ya Mchungaji

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Kondoo Wanaitikia Sauti ya Mchungaji
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1975
  • Habari Zinazolingana
  • Mchungaji Mwenye Upendo
    Kumsikiliza Mwalimu Mkuu
  • Mahali pa Kupata Faraja
    Jifunze Kutoka kwa Mwalimu Mkuu
  • Yesu Anajali Kondoo Wake
    Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2018
  • Mchungaji Mwema na Mazizi ya Kondoo
    Yesu—Njia, Kweli, na Uzima
Pata Habari Zaidi
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1975
w75 9/15 uku. 432

Kondoo Wanaitikia Sauti ya Mchungaji

◇ Katika mmojawapo wa mifano yake, Yesu Kristo alionyesha kwamba kondoo wanajifunza kutambua sauti ya mchungaji na kuitikia sauti yake yeye peke yake: “Kondoo humsikia sauti yake; . . . wale kondoo humfuata, kwa maana waijua sauti yake.” (Yohana 10:3, 4) Msafiri aliyetembelea Nchi Takatifu majuzi aliona ukweli wa maneno hayo. Anasema hivi: “Tulitaka kupiga picha ya sinema ya kondoo fulani tukajaribu kuwafanya wakaribie. Lakini hawakutufuata kwa sababu hawakujua sauti zetu. Kisha mvulana mdogo mchungaji akaja; hata hakuwa amemaliza kuwaita nao wakamfuata. Tukatia sauti ya mchungaji huyo katika utepe na baadaye tukaifungulia tuisikie. Salaala! sasa kondoo wakatufuata na sisi pia!”

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki