Habari za Kitheokrasi
◆ Austria iliripoti kilele kipya cha wahubiri 17,368 wakati wa Machi. Wahubiri wa kundi walifikia wastani wa saa 11.3 shambani.
◆ Brazili inaendelea kupata ongezeko kupendezwa kwingi kukiwa kungali kutasitawisha. Jambo hili linashuhudiwa na 718,414 waliohudhuria sherehe ya Ukumbusho. Kilele kipya cha wahubiri 227,007 kiliripotiwa katika Machi.
◆ Kanada iliripoti utendaji mzuri wa Machi ikiwa na vilele vipya vya wahubiri 92,066 na mafunzo ya Biblia 48,891.