Habari za Kitheokrasi
◆ Alaska yaripoti jumla ya wahubiri 1,872 kwa Machi, ongezeko la asilimia 7 zaidi ya wastani wa mwaka uliopita.
◆ El Salvador ilipita alama ya 17,000 ikiwa na wahubiri 17,019 kwa Machi. Wahubiri wa kundi walifikia wastani wa saa 13.5 shambani.
◆ Japani ilikuwa na kilele kipya katika Machi cha wahubiri 134,099. Hesabu ya wahubiri iliongezeka kufikia 1,020 katika mwezi mmoja.
◆ Korea ilikuwa na kilele kipya cha wahubiri 54,951 katika Machi. Hudhurio kwenye mwadhimisho wa Ukumbusho lilikuwa 117,594.
◆ Luxembourg iliripoti utendaji mzuri wakati wa Machi ikiwa na vilele vipya vya wahubiri 1,422 na mafunzo ya Biblia 1,102. Wahubiri wa kundi walifikia wastani wa saa 12.4 katika utumishi.
◆ Pakistani ilifikia kilele cha wahubiri 275 katika Machi. Ukumbusho ulihudhuriwa na 941.