Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • km 6/91 uku. 4
  • Sanduku la Swali

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Sanduku la Swali
  • Huduma Yetu ya Ufalme—1991
  • Habari Zinazolingana
  • Miongozo ya Waangalizi wa Shule
    Faidika na Elimu ya Shule ya Huduma ya Kitheokrasi
  • Shule Inayotuzoeza Kufanya Kazi Muhimu Zaidi Maishani
    Huduma Yetu ya Ufalme—2002
  • Shule Yenye Mafanikio Ambayo Ni ya Ulimwenguni Pote
    Amkeni!—1995
  • Waangalizi Wanaoongoza—Mwangalizi wa Shule ya Huduma ya Kitheokrasi
    Huduma Yetu ya Ufalme—1998
Pata Habari Zaidi
Huduma Yetu ya Ufalme—1991
km 6/91 uku. 4

Sanduku la Swali

● Katika Shule ya Huduma ya Kitheokrasi, wanafunzi wapate migawo mara nyingi kadiri gani?

Mojawapo makusudi makuu ya Shule ya Huduma ya Kitheokrasi ni kutokeza wanenaji wa mikutano ya watu wote. Kwa sababu hiyo, Ratiba ya Shule ya Huduma ya Kitheokrasi hufanya uandalizi ili hotuba zilizo nyingi zigawiwe akina ndugu.

Hata hivyo, lengo jingine la maana la shule hiyo ni kuzoeza watu wote wa Yehova wawe wahubiri na walimu wenye mafanikio katika huduma ya Kikristo. Kwa sababu hiyo, inafaa akina dada wajiandikishe pia.

Ili kunufaishwa kikamili na shule, wale waliojiandikisha wapaswa kupokea migawo ya wanafunzi kwa ukawaida. Inadokezwa kwamba kila mwanafunzi apate angalau mgawo mmoja kila miezi mitatu. Ikiwa hali za kwenu zinaruhusu, akina ndugu waweza kupewa migawo zaidi. Wazee ambao hutoa kwa ukawaida hotuba za maagizo na mambo makuu ya Biblia hawahitaji kugawiwa hotuba za wanafunzi pia.

Kwa karibu nusu karne, Shule ya Huduma ya Kitheokrasi imesaidia mamilioni wafanye maendeleo ya kiroho na kujifunza jinsi ya kujieleza wenyewe vizuri zaidi katika kutoa ujumbe wa Ufalme. Wote wanatiwa moyo watumie kikamilifu uandalizi huu mzuri ajabu kutoka kwa Yehova Mungu. Lengo letu lapasa kuwa kujitoa wenyewe kwa njia yenye kukubalika kwa Mungu, tukiwa wafanyakazi ‘wasio na sababu ya kuaibikia, tukitumia kwa halali neno la kweli.’—2 Tim. 2:15.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki