TREASURES FROM GOD’S WORD | MHUBIRI 7-12
“Mkumbuke . . . Muumba Wako Mkuu Katika Siku za Ujana Wako”
Mkumbuke Muumba wako Mkuu kwa kutumia nguvu zako ili kumtumikia ukiwa kijana
Vijana wengi wana afya nzuri na nguvu za kutimiza migawo migumu na inayosisimua
Vijana wanapaswa kutumia wakati na nguvu zao kumtumikia Mungu kabla ya kuzuiwa na matatizo ya uzee
Sulemani alitumia maneno ya kishairi kufafanua matatizo ya uzee
Mstari wa 3: “Mabibi wanaochungulia madirishani wameona giza”
Uwezo wa kuona unapungua
Mstari wa 4: “Mabinti wote wa wimbo hutoa sauti ya chini”
Uwezo wa kusikia unapungua
Mstari wa 5: “Pilipili hupasuka”
Kupoteza hamu ya kula