HAZINA ZA NENO LA MUNGU | ISAYA 47-51
Kumtii Yehova Huleta Baraka
Kwa upendo Yehova anatuonyesha ‘njia tunayopaswa kutembea’ ili tufurahie maisha. Tunapata faida tukimtii.
“Amani . . . kama mto”
Yehova anatuahidi amani nyingi inayotiririka kama mto
‘Uadilifu kama mawimbi ya bahari’
Matendo yetu ya uadilifu yanaweza kuwa yasiyohesabika kama mawimbi ya bahari