HAZINA ZA NENO LA MUNGU | MARKO 1-2
“UmesamehewaDhambi Zako”
Tunajifunza nini kutokana na muujiza huo?
Ugonjwa unatokana na dhambi tuliyorithi
Yesu ana mamlaka ya kusamehe dhambi na nguvu za kuwaponya wagonjwa
Chini ya Ufalme, Yesu ataondoa dhambi na magonjwa milele
Marko 2:5-12 inaweza kunisaidiaje kuvumilia ninapokuwa mgonjwa?