HAZINA ZA NENO LA MUNGU | LUKA 14-16
Mfano wa Mwana Mpotevu
Mambo kadhaa tunayojifunza kutokana na mfano huo.
Ni jambo la hekima kubaki miongoni mwa watu wa Mungu ambapo kuna usalama, chini ya utunzaji wa Baba yetu wa mbinguni mwenye upendo
Tukiacha njia ya Mungu, tunapaswa kurudi kwa unyenyekevu, tukiwa na uhakika kwamba Yehova yuko tayari kutusamehe
Tunapaswa kumwiga Yehova kwa kuwakaribisha kwa uchangamfu wale wanaotubu na kurudi kutanikoni