Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb18 Septemba uku. 3
  • Yesu Amhubiria Mwanamke Msamaria

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Yesu Amhubiria Mwanamke Msamaria
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2018
  • Habari Zinazolingana
  • Sisi Ni Mashahidi Wakati Wote
    Huduma ya Ufalme—2009
  • Unaweza Kuhubiri Isivyo Rasmi!
    Huduma Yetu ya Ufalme—2010
  • Msifu Yehova kwa Kutoa Ushahidi Kila Unapopata Nafasi
    Huduma Yetu ya Ufalme—2003
  • Kuboresha Ustadi Wetu Katika Huduma—Kuanzisha Mazungumzo ili Kutoa Ushahidi Isivyo Rasmi
    Huduma Yetu ya Ufalme—2014
Pata Habari Zaidi
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2018
mwb18 Septemba uku. 3
Yesu akizungumza na mwanamke Msamaria kwenye kisima; mwanamke Msamaria akiwaambia wengine kumhusu Yesu

HAZINA ZA NENO LA MUNGU | YOHANA 3-4

Yesu Amhubiria Mwanamke Msamaria

4:6-26, 39-41

Ni nini kilichomwezesha Yesu ahubiri isivyo rasmi?

  • 4:7—Alianzisha mazungumzo kwa kuomba maji badala ya kuzungumzia Ufalme au kujitambulisha kuwa Masihi

  • 4:9—Hakumbagua mwanamke Msamaria kwa sababu hakuwa Myahudi

  • 4:9, 12—Hakukengeushwa kutoka kwenye ujumbe wake hata mwanamke huyo alipozusha mambo ambayo yangeweza kutokeza mabishano.—cf 77 ¶3

  • 4:10—Alianza kwa kutumia mfano uliohusu maisha ya kila siku ya mwanamke huyo

  • 4:16-19—Ingawa aliishi maisha mapotovu kiadili, Yesu alimtendea kwa heshima

Simulizi hili linaonyeshaje umuhimu wa kutoa ushahidi isivyo rasmi?

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki