HAZINA ZA NENO LA MUNGU | MATENDO 17-18
Mwige Mtume Paulo Unapohubiri na Kufundisha
Tunaweza kuigaje mfano wa mtume Paulo?
Tunaweza kutumia Maandiko kujadiliana na watu, na tunaweza kubadili mawazo yetu ili yawafae wasikilizaji wetu
Tunaweza kuhubiri mahali na wakati tunapowapata watu
Tunaweza kutaja imani ya wengine kwa busara ili kuanzisha mazungumzo juu ya mambo tunayokubaliana