Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb19 Aprili kur. 4-5
  • Utajitayarisha Jinsi Gani kwa Ajili ya Ukumbusho?

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Utajitayarisha Jinsi Gani kwa Ajili ya Ukumbusho?
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2019
  • Habari Zinazolingana
  • B12-A Juma la Mwisho la Maisha ya Yesu Duniani (Sehemu ya 1)
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • B12-B Juma la Mwisho la Maisha ya Yesu Duniani (Sehemu ya 2)
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Ratiba ya Usomaji wa Biblia ya Ukumbusho wa 2023
    Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2023
  • Ratiba ya Usomaji wa Biblia wa Ukumbusho wa 2022
    Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2022
Pata Habari Zaidi
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2019
mwb19 Aprili kur. 4-5

MAISHA YA MKRISTO

Utajitayarisha Jinsi Gani kwa Ajili ya Ukumbusho?

Kuanzia mwaka huu, tutakuwa na muda zaidi wa kujitayarisha kwa ajili ya Ukumbusho wa kifo cha Kristo. Siku ya Ukumbusho ikiwa katikati ya juma, Mkutano wa Huduma na Maisha hautafanywa juma hilo. Siku ya Ukumbusho ikiwa mwisho-juma, hotuba ya watu wote na Funzo la Mnara wa Mlinzi halitafanywa. Je, utatumia vizuri muda huo wa ziada? Kama ilivyokuwa katika karne ya kwanza, mipango mingi inahitaji kufanywa kwa ajili ya tukio hili la pekee. (Lu 22:7-13; km 3/15 1) Lakini mbali na mipango hiyo, sisi sote tunapaswa kutayarisha mioyo yetu. Tunaweza kufanyaje hivyo?

  • Tafakari umuhimu wa kuhudhuria.—1Ko 11:23-26

  • Chunguza uhusiano wako wa kibinafsi na Yehova na usali kuuhusu.—1Ko 11:27-29; 2Ko 13:5

  • Soma na utafakari habari za Kimaandiko kuhusu umuhimu wa Ukumbusho.—Yoh 3:16; 15:13

Wahubiri fulani husoma na kutafakari usomaji wa Biblia wa Ukumbusho ulio katika Kuyachunguza Maandiko Kila Siku. Wengine husoma mistari iliyoonyeshwa kwenye chati iliyoambatanishwa. Wengine husoma makala za Mnara wa Mlinzi zinazozungumzia Ukumbusho na upendo ambao Yehova na Yesu wametuonyesha. Hata iwe utachagua mradi gani wa kujifunza, lengo linapaswa kuwa kukusaidia umkaribie Yehova na Mwana wake hata zaidi.

Juma la Mwisho la Maisha ya Yesu Duniani (Sehemu ya 1 na ya 2)
    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki