Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb19 Mei uku. 4
  • “Mwiba Katika Mwili” wa Paulo

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • “Mwiba Katika Mwili” wa Paulo
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2019
  • Habari Zinazolingana
  • Walikabiliana na Miiba Katika Miili Yao
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2002
  • Kukabiliana na “Mwiba Katika Mwili”
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2002
  • Udhaifu wa Kibinadamu Hutukuza Nguvu za Yehova
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1997
  • Je, Una “Mwiba Katika Mwili”?
    Huduma Yetu ya Ufalme—1998
Pata Habari Zaidi
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2019
mwb19 Mei uku. 4

HAZINA ZA NENO LA MUNGU | 2 WAKORINTHO 11-13

“Mwiba Katika Mwili” wa Paulo

12:7-10

Katika Biblia, mara nyingi miiba imetumiwa kwa njia ya mfano. Huenda ikarejelea watu wanaoweza kusumbua na kuwaumiza wengine au vitu vinavyoweza kutokeza matatizo. (Hes 33:55; Met 22:5; Eze 28:24) Paulo alipoandika kuhusu “mwiba katika mwili,” inawezekana kwamba alikuwa akirejelea mitume wa uwongo na wengine ambao walidai hakuwa mtume na walichambua kazi aliyofanya. Maandiko yafuatayo yanaonyeshaje kwamba huenda alikuwa akizungumzia jambo lingine pia aliposema ana “mwiba katika mwili”?

  • Mtume Paulo akiwa ameshika kichwa chake

    Mdo 23:1-5

  • Gal 4:14, 15

  • Gal 6:11

Wewe una ‘mwiba gani katika mwili’?

Unaweza kufanya nini ili kumtegemea Yehova akusaidie kuvumilia?

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki