HAZINA ZA NENO LA MUNGU | 1 TIMOTHEO 4-6
Ujitoaji-Kimungu Una Faida Kuliko Utajiri
Maandiko yafuatayo yanaonyeshaje kwamba tutapata furaha zaidi tukifuatia ujitoaji-kimungu badala ya utajiri?
Wale wanaoingia katika utumishi wa wakati wote wanapata baraka nyingi
Kwa nini haiwezekani kufuatia ujitoaji-kimungu na utajiri? (Mt 6:24)