HAZINA ZA NENO LA MUNGU | WAEBRANIA 12-13
Nidhamu—Uthibitisho wa Upendo wa Yehova
Nidhamu humaanisha kupigwa, kurekebishwa, kuagizwa, na kuelimishwa. Kama baba mwenye upendo anavyowatia nidhamu watoto wake, Yehova hututia nidhamu. Tunatiwa nidhamu kupitia . . .
Usomaji wa Biblia, funzo la kibinafsi, kuhudhuria mikutano, na kutafakari
Shauri au rekebisho kutoka kwa mwamini mwenzetu
Matokeo ya makosa yetu
Kukaripiwa kihukumu au kutengwa
Majaribu au mateso ambayo Yehova anaruhusu.—w15 9/15 21 ¶13; it-1 629