Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb20 Januari uku. 7
  • Uwe Mfanyakazi Stadi

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Uwe Mfanyakazi Stadi
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2020
  • Habari Zinazolingana
  • Hakuna Kilichopotea
    Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2018
  • Vifaa Vyetu vya Kufundishia
    Huduma Yetu ya Ufalme—2015
  • Fundisha Kweli
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2018
  • Tumia Sanduku Letu la Vifaa vya Kufundishia kwa Ustadi
    Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2018
Pata Habari Zaidi
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2020
mwb20 Januari uku. 7
Mwanamume akitumia randa kwa ustadi kusawazisha mbao.

MAISHA YA MKRISTO

Uwe Mfanyakazi Stadi

Seremala stadi anajua jinsi ya kutumia vifaa vyake. Vivyo hivyo, “mfanyakazi asiye na lolote la kuonea aibu” anajua jinsi ya kutumia vifaa vilivyo katika Sanduku la Vifaa vya Kufundishia. (2Ti 2:15) Jibu maswali yafuatayo ili uone kama unafahamu vizuri baadhi ya vifaa tunavyotumia katika huduma.

MSIKILIZE MUNGU UISHI MILELE

  • Jalada la broshua ‘Msikilize Mungu Uishi Milele.’

    Kifaa hiki kimekusudiwa nani?—mwb17.03 5 ¶1-2

  • Unaweza kukitumiaje kuongoza funzo la Biblia?—km 7/12 3 ¶6

  • Unahitaji kifaa gani cha ziada ili kumwandaa mwanafunzi wako kwa ajili ya ubatizo?—km 7/12 3 ¶7

HABARI NJEMA KUTOKA KWA MUNGU!

  • Jalada la broshua ‘Habari Njema Kutoka kwa Mungu!’

    Kwa nini kifaa hiki ni tofauti na machapisho mengine ya kujifunzia?—km 3/13 4-5 ¶3-5

  • Unapaswa kujitahidi kufanya nini unapompa mwenye-nyumba?—km 9/15 3 ¶1

  • Unawezaje kuongoza funzo la Biblia kwa kutumia kifaa hiki?—mwb16.01 8

  • Ni wakati gani ambapo unapaswa kuanza kutumia kitabu Biblia Inatufundisha Nini?—km 3/13 7 ¶10

BIBLIA INATUFUNDISHA NINI?

  • Jadala la kitabu ‘Biblia Inatufundisha Nini?’

    Tunaweza kutumiaje muhtasari wa sura na maelezo ya ziada?—mwb16.11 5 ¶2-3

NI NANI WANAOFANYA MAPENZI YA YEHOVA LEO?

  • Jalada la broshua ‘Ni Nani Wanaofanya Mapenzi ya Yehova Leo?’

    Unapaswa kutumia kifaa hiki wakati gani?—mwb17.03 8 ¶1

  • Kimekusudiwa kutumiwaje?—mwb17.03 8, sanduku

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki