MAISHA YA MKRISTO
Uwe Mfanyakazi Stadi
Seremala stadi anajua jinsi ya kutumia vifaa vyake. Vivyo hivyo, “mfanyakazi asiye na lolote la kuonea aibu” anajua jinsi ya kutumia vifaa vilivyo katika Sanduku la Vifaa vya Kufundishia. (2Ti 2:15) Jibu maswali yafuatayo ili uone kama unafahamu vizuri baadhi ya vifaa tunavyotumia katika huduma.
MSIKILIZE MUNGU UISHI MILELE
Kifaa hiki kimekusudiwa nani?—mwb17.03 5 ¶1-2
Unaweza kukitumiaje kuongoza funzo la Biblia?—km 7/12 3 ¶6
Unahitaji kifaa gani cha ziada ili kumwandaa mwanafunzi wako kwa ajili ya ubatizo?—km 7/12 3 ¶7
HABARI NJEMA KUTOKA KWA MUNGU!
Kwa nini kifaa hiki ni tofauti na machapisho mengine ya kujifunzia?—km 3/13 4-5 ¶3-5
Unapaswa kujitahidi kufanya nini unapompa mwenye-nyumba?—km 9/15 3 ¶1
Unawezaje kuongoza funzo la Biblia kwa kutumia kifaa hiki?—mwb16.01 8
Ni wakati gani ambapo unapaswa kuanza kutumia kitabu Biblia Inatufundisha Nini?—km 3/13 7 ¶10
BIBLIA INATUFUNDISHA NINI?
Tunaweza kutumiaje muhtasari wa sura na maelezo ya ziada?—mwb16.11 5 ¶2-3
NI NANI WANAOFANYA MAPENZI YA YEHOVA LEO?
Unapaswa kutumia kifaa hiki wakati gani?—mwb17.03 8 ¶1
Kimekusudiwa kutumiwaje?—mwb17.03 8, sanduku