HAZINA ZA NENO LA MUNGU | MWANZO 25-26
Esau Auza Haki Yake ya Kuzaliwa
Esau ‘hakuthamini mambo matakatifu.’ (Ebr 12:16) Kwa sababu hiyo, aliuza haki yake ya kuzaliwa. Na hata akaoa wanawake wawili wa kipagani.—Mwa 26:34, 35.
JIULIZE: ‘Ninaweza kuonyeshaje uthamini mwingi zaidi kuelekea mambo haya matakatifu?’
Uhusiano wangu na Yehova
Roho takatifu
Kuitwa kwa jina takatifu, Yehova
Huduma ya shambani
Mikutano ya Kikristo
Ndoa