HAZINA ZA NENO LA MUNGU | MWANZO 36-37
Ndugu za Yosefu Wamwonea Wivu
Mambo yaliyompata Yosefu yanaonyesha madhara yanayosababishwa na wivu usiofaa. Patanisha maandiko yafuatayo na sababu zinazofanya tung’oe kabisa hisia zozote za wivu usiofaa.
ANDIKO
SABABU
Watu wenye wivu hawataurithi Ufalme wa Mungu
Wivu huvuruga amani na umoja kutanikoni
Wivu husababisha madhara ya kimwili
Wivu hutuzuia kuona sifa nzuri za wengine
Ni hali gani zinazoweza kutufanya tuwe na wivu?