HAZINA ZA NENO LA MUNGU | KUTOKA 13-14
“Simameni Imara Muone Jinsi Yehova Atakavyowaokoa”
Yehova ni Mwokozi mwenye upendo na anayejali. Alionyeshaje kwamba aliwajali Waisraeli walipokuwa wakitoka Misri?
Aliwapanga katika vikundi.—Kut 13:18
Aliandaa mwongozo na ulinzi.—Kut 14:19, 20
Aliwaokoa watu wake wote, vijana kwa wazee.—Kut 14:29, 30
Unaweza kuwa na uhakika gani dhiki kuu inapozidi kukaribia?—Isa 30:15