HAZINA ZA NENO LA MUNGU | KUTOKA 27-28
Tunajifunza Nini Kutokana na Mavazi ya Makuhani?
Mavazi yaliyovaliwa na makuhani wa Israeli yanatukumbusha umuhimu wa kutafuta mwongozo wa Yehova, wa kuwa watakatifu, na wa kuonyesha kiasi na heshima.
Tunatafutaje mwongozo wa Yehova?
Kuwa mtakatifu kunamaanisha nini?
Tunaweza kufanya nini ili kuonyesha kiasi na heshima?