Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb21 Novemba uku. 4
  • Mambo Tunayojifunza Kutokana na Kutoelewana

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Mambo Tunayojifunza Kutokana na Kutoelewana
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2021
  • Habari Zinazolingana
  • Yoshua Alihimiza Taifa kwa Mara ya Mwisho
    Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2021
  • Mfuate Yehova kwa Moyo Wote
    Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2021
  • Kwa Nini Uridhike na Uwe Mwenye Kiasi?
    Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2022
  • Yehova Aliwapigania Waisraeli
    Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2021
Pata Habari Zaidi
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2021
mwb21 Novemba uku. 4
Waisraeli walioishi mashariki mwa Yordani wakijibu baada ya kushtakiwa kimakosa na Waisraeli wenzao.

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

Mambo Tunayojifunza Kutokana na Kutoelewana

Makabila yaliyoishi mashariki mwa Yordani yalijenga madhabahu kubwa inayovutia (Yos 22:10)

Makabila yale mengine yaliwashtaki kwamba hawakuwa waaminifu (Yos 22:12, 15, 16; w06 4/15 5 ¶3)

Jibu la upole kutoka kwa walioshtakiwa kimakosa lilizuia vita (Yos 22:21-30; w08 11/15 18 ¶5)

Simulizi hili linatufundisha nini kuhusu jinsi ya kutenda tunaposhtakiwa kimakosa na kuhusu umuhimu wa kutofikia mkataa haraka bila kuwa na habari kamili?​—Met 15:1; 18:13.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki