HAZINA ZA NENO LA MUNGU
Yeftha—Mwanamume wa Kiroho
Yeftha hakuwafungia wengine kinyongo (Amu 11:5-9; w16.04 7 ¶9)
Yeftha alijifunza kutokana na jinsi Yehova alivyoshughulika na watu Wake (Amu 11:12-15; it-2 27 ¶2)
Yeftha alikazia fikira jambo kuu, yaani, kwamba Yehova ndiye Mungu wa kweli (Amu 11:23, 24, 27; it-2 27 ¶3)
Ni katika njia zipi hususa ninaonyesha kwamba mimi ni mtu wa kiroho?