HAZINA ZA NENO LA MUNGU
Endelea Kutafuta Mwongozo wa Yehova
Waisraeli walimwomba Yehova mwongozo tena na tena (Amu 20:17, 18, 23; w11 9/15 32 ¶2)
Hatimaye Waisraeli walimtegemea Yehova kikamili ili awasaidie kuliondolea jina lake lawama (Amu 20:26-28)
Tunapaswa kuendelea kutafuta mwongozo wa Yehova na kumtegemea kikamili (Amu 20:35; Lu 11:9; w11 9/15 32 ¶4)
JIULIZE: ‘Ninapokabili jaribu, je, mimi humwendea Yehova moja kwa moja? Je, ninatafuta hekima na mwongozo wake tena na tena?’