Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb23 Julai uku. 2
  • “Msiingilie Kazi”

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • “Msiingilie Kazi”
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2023
  • Habari Zinazolingana
  • Je, Unakumbuka?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2022
  • Mruhusu Yehova Akutumie
    Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2023
  • Usiwaache Kamwe Waabudu Wenzako
    Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2023
  • Mtegemee Yehova—Lini?
    Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2023
Pata Habari Zaidi
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2023
mwb23 Julai uku. 2

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

“Msiingilie Kazi”

Kuhani Mkuu Yeshua (Yoshua) na Gavana Zerubabeli waliongoza katika kazi ya kujenga upya hekalu licha ya marufuku (Ezr 5:1, 2; w22.03 18 ¶13)

Wapinzani walipouliza ni nani aliyekuwa amewaagiza kufanya kazi hiyo, Wayahudi walisema ni agizo la Koreshi (Ezr 5:3, 17; w86 2/1 29, sanduku ¶2-3)

Mfalme alipata uthibitisho kuhusu agizo hilo na kuwaagiza wapinzani waache kuingilia kazi hiyo (Ezr 6:7, 8; w22.03 15 ¶7)

Dada anayetazama programu ya JW Broadcasting ana piga picha akilini Zerubabeli na Kuhani Mkuu Yeshua wakiwapa mwongozo Waisraeli wenzao wanaojenga upya hekalu.

JAMBO LA KUTAFAKARI: Simulizi hili la Biblia linatusaidiaje kufuata mwongozo ambao huenda hatuelewi vizuri kutoka kwa wale ambao Yehova amewaweka rasmi kuongoza?​—w22.03 19 ¶16.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki