HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Je, Mwanadamu Anaweza Kuwa na Faida kwa Mungu?”
Elifazi alidai kwamba Mungu anatuona kuwa bure (Ayu 22:1, 2; w05 9/15 27 ¶1-3)
Elifazi alidai kwamba Mungu hajali ikiwa sisi ni waadilifu (Ayu 22:3; w95 2/15 27 ¶6)
Tunaweza kumpa Yehova msingi wa kumjibu yule anayemdhihaki (Met 27:11; w03 4/15 14-15 ¶10-12)
JAMBO LA KUTAFAKARI: Unahisije kujua kwamba Mweza-Yote anakuona kuwa mwenye thamani?