Mathayo 12:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 na tazama! kulikuwa na mtu aliyepooza mkono!+ Basi, ili wapate sababu ya kumshtaki wakamuuliza, “Je, ni halali kumponya mtu siku ya Sabato?”+ Mathayo 12:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 na, tazama! mtu mwenye mkono uliopooza!+ Kwa hiyo ili wapate jambo la kumshitaki wakamuuliza, “Je, ni halali kuponya siku ya sabato?”+ Mathayo Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 12:10 w98 8/1 9 Mathayo Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 12:10 Yesu—Njia, uku. 78 Mnara wa Mlinzi,8/1/1998, kur. 9-108/1/1986, uku. 8
10 na tazama! kulikuwa na mtu aliyepooza mkono!+ Basi, ili wapate sababu ya kumshtaki wakamuuliza, “Je, ni halali kumponya mtu siku ya Sabato?”+
10 na, tazama! mtu mwenye mkono uliopooza!+ Kwa hiyo ili wapate jambo la kumshitaki wakamuuliza, “Je, ni halali kuponya siku ya sabato?”+