5 Akawatazama kwa hasira na kuhuzunika sana kwa sababu mioyo yao ilikuwa migumu,+ akamwambia mtu huyo: “Nyoosha mkono wako.” Akaunyoosha mkono wake, nao ukapona.
5 Na baada ya kuwatazama huku na huku kwa ghadhabu, akiwa amehuzunishwa na jinsi mioyo yao+ ilivyokuwa migumu, akamwambia mtu huyo: “Nyoosha mkono wako.” Naye akaunyoosha, na mkono wake ukapona.+