35 Kwa hiyo, endeleeni kukesha, kwa maana hamjui bwana wa nyumba anakuja wakati gani,+ iwe ni jioni, usiku wa manane, kabla ya alfajiri,* au asubuhi na mapema,+
35 Kwa hiyo endeleeni kukesha,+ kwa maana hamjui bwana wa nyumba anakuja wakati gani, kama ni wakati wa jioni au katikati ya usiku au anapowika jogoo au asubuhi na mapema;+