12 Isitoshe, kupitia mikono ya mitume ishara nyingi na mambo ya ajabu* yakaendelea kutukia kati ya watu;+ na wote walikuwa wakikutana kwenye Safu ya Nguzo za Sulemani.+
12 Zaidi ya hayo, kupitia mikono ya mitume ishara nyingi na mambo ya ajabu yakaendelea kutukia kati ya watu;+ nao wote walikuwa kwa umoja katika eneo lenye mistari ya nguzo za Sulemani.+