28 Jiangalieni wenyewe+ na kundi lote, ambalo kati yake roho takatifu imewaweka ninyi rasmi muwe waangalizi,+ mlichunge kutaniko la Mungu,+ ambalo alilinunua kwa damu ya Mwana wake mwenyewe.+
28 Jiangalieni+ ninyi wenyewe+ na kundi lote,+ ambalo roho takatifu imewaweka ninyi rasmi kuwa waangalizi+ kati yake, kulichunga kutaniko la Mungu,+ ambalo alilinunua kwa damu+ ya Mwana wake mwenyewe.