27 Mwanamume huyu alikamatwa na Wayahudi nao walikuwa karibu kumuua, lakini nikaja haraka pamoja na wanajeshi wangu na kumwokoa,+ baada ya kujua kwamba ni Mroma.+
27 Mwanamume huyu alikamatwa na Wayahudi nao walikuwa karibu kumuua, lakini nikaja ghafula nikiwa pamoja na jeshi la askari na kumwokoa,+ kwa sababu nilipata kujua kwamba yeye ni Mroma.+