10 Hivyo ndivyo nilivyofanya huko Yerusalemu, niliwafunga gerezani watakatifu wengi,+ kwa maana nilikuwa nimepewa mamlaka na wakuu wa makuhani;+ na walipopaswa kuuawa, nilipiga kura yangu dhidi yao.
10 ambayo, kwa kweli, niliyafanya katika Yerusalemu, na wengi kati ya watakatifu niliwafunga gerezani,+ kwa kuwa nilikuwa nimepokea mamlaka kutoka kwa wakuu wa makuhani;+ na walipokuwa wanapaswa kuuawa, mimi nilipiga kura yangu dhidi yao.