4 Au je, wewe unadharau utajiri wa fadhili zake+ na uvumilivu*+ na subira,+ kwa sababu hujui kwamba Mungu kwa fadhili zake anajaribu kukuongoza wewe kwenye toba?+
4 Au je, wewe unadharau utajiri wa fadhili+ zake na uvumilivu wenye subira+ na ustahimilivu,+ kwa sababu hujui kwamba sifa ya fadhili za Mungu inajaribu kukuongoza wewe kwenye toba?+