1 Wakorintho 2:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Hakuna mtawala hata mmoja wa mfumo huu wa mambo* aliyeijua hekima hii,+ kwa maana kama wangejua hawangemuua* Bwana mwenye utukufu. 1 Wakorintho 2:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Hekima hii hakuna hata mmoja wa watawala+ wa mfumo huu wa mambo aliyeijua,+ kwa maana kama wao wangaliijua hawangalimtundika mtini+ Bwana mwenye utukufu. 1 Wakorintho Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 2:8 Mnara wa Mlinzi,10/15/1986, kur. 6-7
8 Hakuna mtawala hata mmoja wa mfumo huu wa mambo* aliyeijua hekima hii,+ kwa maana kama wangejua hawangemuua* Bwana mwenye utukufu.
8 Hekima hii hakuna hata mmoja wa watawala+ wa mfumo huu wa mambo aliyeijua,+ kwa maana kama wao wangaliijua hawangalimtundika mtini+ Bwana mwenye utukufu.