7 Na tumaini letu kwa ajili yenu haliyumbi-yumbi, kwa kuwa tunajua kwamba kama vile mnavyoshiriki katika mateso, ndivyo pia mtakavyoshiriki katika faraja.+
7 Na kwa hiyo tumaini letu kwa ajili yenu haliyumbi-yumbi, tukijua kama tunavyojua kwamba, kama vile mlivyo washiriki wa hayo mateso, vivyo hivyo ninyi pia mtaishiriki faraja.+