4 Kupitia mambo haya ametupatia* ahadi zenye thamani na zilizo bora,+ ili kupitia hizo muwe washiriki katika asili ya kimungu,+ mkiwa mmeponyoka kutoka katika uharibifu wa ulimwengu unaosababishwa na tamaa mbaya.*
4 Kupitia mambo haya ametupa sisi bila malipo ahadi zenye thamani na zilizo bora sana,+ ili kupitia hizi ninyi muwe washiriki katika asili+ ya kimungu,+ mkiwa mmeponyoka kutoka katika uharibifu ulio katika ulimwengu+ kutokana na uchu.