1Ufunuo* kupitia Yesu Kristo, ambao Mungu alimpa+ ili kuwaonyesha watumwa wake+ mambo yanayopaswa kutukia hivi karibuni. Naye alimtuma malaika wake na kupitia yeye akautoa kwa ishara kwa mtumwa wake Yohana,+
1Ufunuo+ kupitia Yesu Kristo, ambao Mungu alimpa,+ kuwaonyesha watumwa+ wake mambo ambayo lazima yatendeke upesi.+ Naye alimtuma malaika+ wake na kupitia yeye akautoa kwa njia ya ishara+ kwa mtumwa wake Yohana,+