2 ‘Ninayajua matendo yako, na kazi yako ya jasho na uvumilivu, na kwamba huwavumilii watu wabaya, nawe unawajaribu wale wanaosema kwamba wao ni mitume,+ lakini wao sio, nawe uliwagundua kuwa waongo.
2 ‘Mimi nayajua matendo yako,+ na kazi yako ya jasho na uvumilivu, na kwamba huwavumilii watu wabaya, na kwamba uliwajaribu+ wale wanaosema kwamba wao ni mitume,+ lakini wao sio, nawe uliwaona kuwa waongo.